Kikhetrani

Kikhetrani ni lugha ya Kihindi-Kiulaya nchini Pakistan inayozungumzwa na Wakhetrani. Idadi ya wasemaji wa Kikhetrani imehesabiwa kuwa watu 4000 (mwaka wa uhesabu haujulikani). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kikhetrani iko katika kundi la Kiaryan.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy